Bondia Ambokile Chusa kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Shujaa Keyakeya wakati wa mpambano wao uliofanyika Ulongoni Gangolamboto Keyakeya alishinda kwa point.
Bondia Mbaruku Kheri kushoto akioneshana umwamba na Stevin Mwalitwanga wakati wa mpambano wao kheri alishinda kwa K,O ya raundi ya pili.
Post a Comment